Saturday, October 19, 2013

KAJALA ANASWA NA KHANGA MOJA MTAANI..TAZAMA PICHA HAPA



KATIKA hali ya kushangaza, staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja  amenaswa akiwa ametinga khanga moja na kuwaacha watu midomo wazi.

Kajala alinaswa na kamera yetu maeneo ya Kigogo jijini Dar ambapo watu kibao walionekana kumzunguka na kuhoji kulikoni staa huyo ambaye amezoeleka kutika pamba kali, aonekane na vazi la khanga?


No comments :

Post a Comment

 
Copyright © 2013. BongoAfrica - All Rights Reserved.