Saturday, November 30, 2013

ZITTO LIVE MAGIC FM...!!

Wadau


Leo Zitto atahojiwa Magic FM kwenye kipindi cha Fina Mango kuanzia saa kumi na moja jioni, kwa mujibu wa tweets za Fina Mwenyewe. Watakaoweza sikiliza kupitia 92.9 Dar, 93.3 Dodoma, 98.6 Arusha, na 101.7 Mwanza na Tanga na online kupitia http://www.ustream.tv/channel/makutanoshow

No comments :

Post a Comment

 
Copyright © 2013. BongoAfrica - All Rights Reserved.