Saturday, November 30, 2013

TID ATUPWA MAHABUSU TENA!!

BAADA YA KUMPIGA DEMU WAKE TID ATUPWA MAHABUSU

Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake,  Mariam Nnauye.

No comments :

Post a Comment

 
Copyright © 2013. BongoAfrica - All Rights Reserved.