Friday, February 14, 2014

CHANGAMKIA FURSA..

Ninazo Hekta takribani 100 huko serengeti jirani kabisa na eneo la mwekezaji yule mwenye singita (sasakwa) hotel na ile ya bilila (hotel kubwa tz) eneo lafaa kujenga hotel au kituo cha utalii na maonyesho kamli ya sanaa na vitu kama hivyo. eneo liko kwenye mwinuko na ardhi yenye rutuba inastawi kila aina ya mmea, kunafaa kujengwa pia chuo cha mafunzo ya utalii maana international airport ndio inajengwa kwa sasa hapo serengeti -MUGUMU, anagalizo eneo hilo siuzi bali natafuta watu wa kuingia nao ubia....


                            0755023503 / 0714981568

No comments :

Post a Comment

 
Copyright © 2013. BongoAfrica - All Rights Reserved.