Tuesday, November 19, 2013

PATA STORY KAMILI HAPO CHINI


Hapa ni baada ya kusoma kwa saa zaidi ya 11, yaani tokea saa moja jioni mpaka saa 11 alfajiri tukiwa tumekamia kile tukiitacho kutoboa Ozone layer mwaka huo nikiwa na Kijana wangu Mabovu aisee hatukuamini tulipotazama saa eti ni saa 12 asubuhi na hatuna hata chembe ya usingizi.

SHULE SI MCHEZO WAKUBWA........UNAWEZA HARIBIKA FACIAL NERVES  UKAFANANA NA MZEE WA MIAKA 70 KUMBE UKO UNDER 30

No comments :

Post a Comment

 
Copyright © 2013. BongoAfrica - All Rights Reserved.